Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: da:Koiné, eo:Kojnea greka lingvo
d roboti Nyongeza: ko:코이네 그리스어
Mstari 22: Mstari 22:
[[it:Koinè]]
[[it:Koinè]]
[[ja:コイネー]]
[[ja:コイネー]]
[[ko:코이네 그리스어]]
[[la:Koine]]
[[la:Koine]]
[[nds:Koine Greeksch]]
[[nds:Koine Greeksch]]

Pitio la 20:40, 12 Februari 2008

Kiyunani - jina hilo ni la Kiswahili cha kale kwa "Kigiriki", ambayo ni lugha ya nchi ya Ugiriki ("Uyunani") au tabia za Wagiriki ("Wayunani").

Neno la kale limetokana na lugha ya Kiarabu اليونان likatumikiwa hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia "Greek" kutokana na tamko ya Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".