Sukulenti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
Sahihisho
Mstari 11: Mstari 11:


<gallery>
<gallery>
Image:Plantsisal.jpg|[[Mkonge]] hupandwa kwa mashamba makubwa katika nchi yabisi ikihifadhi maji kwenye majani yake
Image:Plantsisal.jpg|[[Mkonge Dume|Mkonge dume]] hupandwa kwa mashamba makubwa katika nchi yabisi ikihifadhi maji kwenye majani yake
Image:Adansonia_grandidieri04.jpg|[[Mbuyu]] wa Madagaska hutunza maji katika shina lake
Image:Adansonia_grandidieri04.jpg|[[Mbuyu]] wa Madagaska hutunza maji katika shina lake
Image:Mammillaria_zeilmanniana.jpg|Mipungate inatoa maua mazuri inapendwa kama mimea ya mapambo
Image:Mammillaria_zeilmanniana.jpg|Mipungate inatoa maua mazuri inapendwa kama mimea ya mapambo

Pitio la 06:41, 5 Aprili 2018

Jani la mshubirimani lililokatwa; utomvu unatoka nje

Sukulenti (lat. sucus = utomvu; ing. succulents) au Mimea yenye utomvu mwingi ni mimea iliyojitohoa kwa maisha katika mazingira yabisi.

Mimea hii ya familia na jenasi tofauti ina uwezo wa kutunza maji ndani ya majani au mashina yao. Kwa hiyo mara nyingi ama majani au shina ni nono kutokana na uwingi wa utomvu ndani yao.

Kwa hiyo "sukulenti" si jina la spishi au familia maalumu ya mimea lakini neno hili linataja tu umbo la mimea ya aina mbalimbali iliyo imekuwa tofauti kutokana na mazingira yake. Jenasi moja ya mimea inaweza kutia ndani aina zenye majani nono yenye utomvu mwingi na pia aina nyingine zenye majani ya kawaida zinazomea katika mazingira tofauti.

Pia kuna tofauti kati ya watalaamu eti ni nini inayostahili kuitwa sukulenti. Wengi wanaangalia majani na mashina pekee lakini kuna wengine wanaoingiza mle pia mizizi inayotunza maji lakini wengine hawakubali.

Mifano ya sukulenti iliyokubalika na pande zote ni mbuyu, mkonge, mshubirimani na aina za mpungate.