Lugha za Kifini-Kiugori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maeneo ya lugha za Kifini-Kiugori

Lugha za Kifini-Kiugori ni familia ya lugha ambazo huzungumzwa barani Ulaya hasa upande wa Kaskazini-Mashariki. Lugha zizungumzwazo kama lugha rasmi nchini mwake ni Kifini, Kihungaria na Kiestonia. Lugha za Kifini-Kiugori ni tawi moja la lugha za Kiurali pamoja na lugha za Kisamoyedi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kifini-Kiugori kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.