Lugha za Kibarkly

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo la lugha za Kibarkly (rangi ya buluu)

Lugha za Kibarkly ni kundi la lugha za Kimirndi nchini Australia. Katika kundi hilo kuna lugha tatu: Kijingulu, Kigudanji na Kiwambaya.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kibarkly kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.