Nenda kwa yaliyomo

Lila Tretikov

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lila Tretikov akiongea mkutanoni

Lila Tretikov (alizaliwa Olga (Lyalya) Tretyakova, Moscow, Umoja wa Kisovyeti.[1] Januari 25, 1978) ni mhandisi na meneja wa Urusi na Marekani.[2] Tretikov alizaliwa jijini.

Baba yake alikuwa mtaalamu wa hesabu na mama alikuwa mtunzi wa filamu.

  1. "Meet the Woman Charged With Saving Wikipedia". TIME.com. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-04-18. Iliwekwa mnamo 2022-10-03.
  2. "Knight Foundation invests in immersive technology". Microsoft In Culture (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-10-03. Iliwekwa mnamo 2022-10-03.