Nenda kwa yaliyomo

Leslie Laing

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Leslie Alphonso "Les" Laing (19 Februari 19257 Februari 2021) alikuwa mwanariadha wa Jamaika na mshindi wa medali ya dhahabu katika mbio za kupokezana vijiti (4 × 400 m) kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto ya mwaka 1952.[1]

  1. "History: Epic Run at Helsinki". Caribbean Olympics Coverage 2008. Gleaner Company. 2008. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 21 Agosti 2008. Iliwekwa mnamo 18 Aprili 2010.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)