Lesley-Ann Brandt

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lesley-Ann Brandt

Brandt wakati wa Kongamano la Lusifa huko Paris mnamo 2022
Amezaliwa 2 Disemba 1981
Afrika Kusini
Nchi Bendera ya Afrika Kusini Afrika Kusini
Kazi yake Muigizaji

Lesley-Ann Brandt (alizaliwa mnamo 2 Disemba 1981) ni muigizaji wa kike wa nchini Afrika Kusini. Brandt ameigiza filamu nyingi katika televisheni ya New Zealand na mara kujulikana sana kimataifa katika filamu kwa uhusika wake kama msichana mtumwa katika filamu ya Spartacus: Blood and Sand. Tangu Januari 2016, aliigiza uhusika kama Mazikeen katika filamu ya Lucifer.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lesley-Ann Brandt kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.