Lahadata
Jump to navigation
Jump to search

Lahadata ya kiendeshi diski kuu.
Katika utarakilishi, lahadata (kwa Kiingereza: datasheet) ni hati inayofanya muhtasari wa utendaji na sifa za bidhaa au mashine fulani.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).