Kisiwa cha Olkokwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiwa cha Olkokwa ni kisiwa cha kaunti ya Baringo, nchini Kenya. Kina asili ya volikano na kimo cha mita 1,130 juu ya usawa wa bahari.

Kinapatikana katika ziwa Baringo, kikiwa kikubwa kuliko vyote vilivyomo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]