Kisiwa cha Bugala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiwa cha Bugala ni jina la viwili kati ya visiwa vya Uganda kusini (Mkoa wa Kati, Wilaya ya Kalangala).

Vinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]