Nenda kwa yaliyomo

Kilimo nchini New Zealand

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nchini New Zealand, kilimo ndio sekta kubwa zaidi ya uchumi. Nchi ilisafirisha bidhaa za kilimo zenye thamani ya NZ$46.4 bilioni (malighafi na bidhaa za viwandani) katika kipindi cha miezi 12 hadi Juni 2019, 79.6% ya jumla ya bidhaa zinazouzwa nje ya nchi. Sekta ya kilimo, misitu na uvuvi ilichangia moja kwa moja $12.653 bilioni (au 5.1%) ya Pato la Taifa katika kipindi cha miezi 12 hadi Septemba 2020.[1][2][3][4][5]

  1. "New Zealand's primary sector exports reach a record $46.4 billion". Stuff (kwa Kiingereza). 2019-09-16. Iliwekwa mnamo 2021-03-14.
  2. "Gross domestic product: September 2020 quarter | Stats NZ". www.stats.govt.nz. Iliwekwa mnamo 2021-03-11.
  3. "2018 Census totals by topic" (Microsoft Excel spreadsheet). Statistics New Zealand. Iliwekwa mnamo 29 Oktoba 2019.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. "Background". Crown Irrigation Investments. Iliwekwa mnamo 14 Juni 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  5. Brendan Hutching, mhr. (2006). New Zealand Official Yearbook. Statistics New Zealand. uk. 359. ISBN 978-1-86953-638-1.