Kilimani (Mbinga)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Kilimani
Nchi Tanzania
Mkoa Ruvuma
Wilaya Mbinga
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 11,529

Kilimani ni jina la kata ya Wilaya ya Mbinga katika Mkoa wa Ruvuma, Tanzania yenye postikodi namba 57402 .[1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,529 waishio humo.[2]

Kilimani ina vijiji vifuatavyo: Kilimani, Sepukila, Mhekela, Ludisha, Mkwaya na Njomlole.

Kati ya huduma za jamii kuna shule za msingi 6, shule ya sekondari ya Mkwaya, zahanati za Mkwaya na Sepukilo na gereza la Mkwaya.

Zao la biashara ni kahawa. Mazao ya chakula ni pamoja na mahindi, ndizi, magimbi na maharagwe.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Mbinga - Mkoa wa Ruvuma - Tanzania

Amani Makoro | Kambarage | Kigonsera | Kihangi Mahuka | Kipapa | Kipololo | Kitumbalomo | Kitura | Langiro | Linda | Litembo | Litumbandyosi | Lukarasi | Maguu | Mapera | Matiri | Mbuji | Mhongozi | Mikalanga | Mkako | Mkumbi | Mpapa | Muungano | Namswea | Ngima | Nyoni | Ruanda | Ukata | Wukiro


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Ruvuma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kilimani (Mbinga) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.