Kieran Tierney

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tierney akisherehekea taji la ligi ya Celtic mnamo 2016
Tierney akisherehekea taji la ligi ya Celtic mnamo 2016

Kieran Tierney (alizaliwa 5 Juni 1997 [1][2]) ni mchezaji wa soka wa Scotland ambaye anacheza kama beki wa kushoto au beki wa kati katika klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Arsenal na timu ya taifa ya Scotland. [3][4]Tierney alipitia mfumo wa vijana wa Celtic na akaichezea timu yake kwa mara ya kwanza mwezi Aprili 2015, na mechi yake ya kwanza ya kimataifa mwezi Machi 2016. Alijiunga na Arsenal Agosti 2019 kwa ada iliyoripotiwa kuwa pauni milioni 25, kiasi ambacho ni rekodi kwa raia wa Scotland na mchezaji kutoka ligi ya Scotland.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Fisher, Stewart. "Kieran Tierney taking his Manx connections seriously as he embarks on Celtic career", The Herald, Newsquest, 27 October 2015. 
  2. "Kieran Tierney: Overview". Premier League. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 17 August 2019. Iliwekwa mnamo 17 August 2019.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  3. "Kieran Tierney Player Profile - ESPN FC". www.espnfc.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 20 October 2016. Iliwekwa mnamo 26 January 2019.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  4. "2019/20 Premier League squads confirmed". Premier League. 3 September 2019. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 3 September 2019. Iliwekwa mnamo 3 September 2019.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |date=, |archivedate=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kieran Tierney kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.