Kidukizi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vidukizi mbalimbali.

Kidukizi (kutoka kitenzi "kudukiza") ni kifaa cha umeme ambacho kinawekwa katika sakiti ya umeme ili kuzidisha kiasi cha nguvu ya kisumaku inayohitajika mahali fulani.

Kwa kawaida kidukizi kinaundwa na sakiti kubwa ya nyaya za umeme, kama vile za shaba, zikizungushwa katika metali laini kama vile bati[1], hasa kama vidukizi vidogo vimepangwa katika sakiti bora kama katika transista.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Inductors 101. Vishay Intertechnology, Inc. (2008-08-12). Iliwekwa mnamo 2010-10-02.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.