Kidole gumba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Majina ya vidole vya mkono:
1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho
Kidole gumba

Kidole gumba ni kidole cha kwanza mkononi. Kidole hiki ni tofauti na vidole vingine kwa sababu mwelekeo wake ni wa pekee. Kina viungo vichache pia ni kifupi. Kinatuwezesha kushika vitu.

Katika tamaduni mbalimbali kuonyesha kidole gumba kuna maana ya furaha; kwa mfano kumkubali mtu, kumwambia: Umefanya vizuri au pia kumwonyesha: mimi sijambo, sina matata.


Sehemu za Mkono wa binadamu

Bega * Mkono wa juu * Kisugudi * Kigasha * Kiganja * Kidole gumba * Kidole cha shahada * Kidole cha kati * Kidole cha pete * Kidole cha mwisho