Kidole cha mwisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kidole cha mwisho
Majina ya vidole vya mkono:
1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho

Kidole cha mwisho ni kidole cha tano kwenye mkono wa binadamu. Kiko kando ya kidole cha kati cha kando.

Kwa kawaida ni kidole kidogo mkonononi hivyo kwa lugha nyingi huitwa kwa jina "kidole kidogo".


Sehemu za Mkono wa binadamu

Bega * Mkono wa juu * Kisugudi * Kigasha * Kiganja * Kidole gumba * Kidole cha shahada * Kidole cha kati * Kidole cha pete * Kidole cha mwisho