Kidole cha kati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kidole kikubwa
Majina ya vidole vya mkono:
1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho

Kidole cha kati (pia: kikubwa, kirefu) ni kidole cha tatu mkononi. Kiko kati ya kidole cha shahada na kidole cha kati cha kando. Kwa watu walio wengi sana ni kidole kirefu mkononi.

Katika utamaduni mbalimbali ni mwiko kabisa kuonyesha kidole hiki kunatumiwa kwa kusudi la kutukana na kutusi. Lakini kwa wengine hakina maana mabaya hivyo kidole kinaweza kuwa chanzo cha kutoelewana vibaya.


Sehemu za Mkono wa binadamu

Bega * Mkono wa juu * Kisugudi * Kigasha * Kiganja * Kidole gumba * Kidole cha shahada * Kidole cha kati * Kidole cha pete * Kidole cha mwisho