Kibingo, Uganda

Majiranukta: 00°34′12″S 30°24′54″E / 0.57000°S 30.41500°E / -0.57000; 30.41500
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Kibingo katika ramani Uganda Kama ambavyo inaonekana kwa majiranukta 00°34′12″S 30°24′54″E / 0.57000°S 30.41500°E / -0.57000; 30.41500

Kibingo ni mji ulioko katika Mkoa wa Magharibi huko Uganda. Ni mahali pa makao makuu ya wilaya ya Sheema.

Mahali[hariri | hariri chanzo]

Kibingo uko kwenye barabara kuu ya Mbarara - Bushenyi, takribani kilomita 31 (maili 19), kwa barabara, magharibi mwa Mbarara, jiji kubwa zaidi katika mkoa mdogo wa Ankole.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. GFC, . (5 July 2015). "Map Showing Mbarara And Kibingo With Route Marker". Globefeed.com (GFC). Iliwekwa mnamo 5 July 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)