Khoja Ismaili Musafarkhana, Zanzibar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Khoja Ismaili Musafarkhana ni jumba lililopo Kiponda mkabala na nyumba ya Amir Gozi huko Malindi, Zanzibar.

Lilianzishwa na Khoja Esmail Ramji mnamo Desemba 1892.[1][2]

Lilitumika kuwakaribishia wageni na wasafiri kutoka kwenye jamii ya Khoja Ismail peke yake.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-05-12. Iliwekwa mnamo 2021-05-12. 
  2. https://www.dewani.ca//af/forum/zbarjkhana.htm