Khoja Ismaili Musafarkhana, Zanzibar
Khoja Ismaili Musafarkhana ni jumba lililopo Kiponda mkabala na nyumba ya Amir Gozi huko Malindi, Zanzibar.
Lilianzishwa na Khoja Esmail Ramji mnamo Desemba 1892.[1][2]
Lilitumika kuwakaribishia wageni na wasafiri kutoka kwenye jamii ya Khoja Ismail peke yake.[1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ 1.0 1.1 "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-05-12. Iliwekwa mnamo 2021-05-12.
- ↑ https://www.dewani.ca//af/forum/zbarjkhana.htm