Kendell Geers

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jacobus Hermanus Pieters Geers, anajulikana kama Kendell Geers, ni msanii wa dhana wa nchini Afrika Kusini. Geers anaishi na kufanya kazi Brussels, Ubelgiji .

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Kendell Geers alizaliwa huko Leondale, kitongoji cha tabaka la wafanyikazi huko East Rand nje ya Johannesburg, Afrika Kusini, katika familia ya Kiafrikana kipindi cha ubaguzi wa rangi. [1] [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Peta Krost, “Interview with Kendell Geers.” Saturday Star, 24 January 1998
  2. "Salon | Artist Talk | Manifesta 9: FIRED UP by Kendell Geers", YouTube video.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kendell Geers kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.