Kasoro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa kasoro katika MacIntosh ya kwanza ya Apple.

Katika utarakilishi, kasoro (kwa Kiingereza: bug) ni kosa linalotokea katika programu ya tarakilishi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)