Kapsowar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kapsowar


Kapsowar
Nchi Kenya
Kaunti Elgeyo-Marakwet
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 60,763

Kapsowar ni mji wa Kenya magharibi katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki. Ni kata ya kaunti ya Elgeyo-Marakwet, eneo bunge la Marakwet Magharibi[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]