Nenda kwa yaliyomo

Kanazawa, Ishikawa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Kanazawa

Kanazawa (金沢市) ndiyo mji mkuu katika mkoa wa Ishikawa. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 460,000 wanaoishi katika mji huu.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kanazawa, Ishikawa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.