Kamanda
Mandhari

Kamanda (kutoka Kiingereza: Commander) ni cheo cha afisa wa nevi na jeshi la anga kilicho chini ya Nahodha na juu ya Luteni Kamanda.
Cheo cha kamanda pia hupatikana katika baadhi ya vikosi vya polisi.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |