Kamanda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ishara ya kamanda wa Jeshi la Majini la Merika

Kamanda (kutoka Kiingereza: Commander) ni cheo cha afisa wa nevi na jeshi la anga kilicho chini ya Nahodha na juu ya Luteni Kamanda.

Cheo cha kamanda pia hupatikana katika baadhi ya vikosi vya polisi.