Kajala Masanja
Jump to navigation
Jump to search
Kajala Masanja (alizaliwa 1985) ni mwigizaji wa filamu, tena gwiji, katika nchi ya Tanzania.[1]
Aliolewa na mfanyakazi ya benki wa zamani Faraji Chambo.[2][3]
Alionekana katika filamu ya mwaka 2012 Kijiji Cha Tambua Haki na Steven Kanumba; ndio mwaka iliotoka.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Tanzania: Court Sets Free Bongo Movies Actress Kajala. Iliwekwa mnamo 2018-01-17.
- ↑ KAJALA AKWAMA PESA YA KUMTOA MUMEWE JELA | Magazeti ya leo| Tanzania News. Jalada kutoka ya awali juu ya 2018-01-18. Iliwekwa mnamo 2018-01-17.
- ↑ https://globalpublishers.co.tz/kajala-aitifua-ndoa-ya-p-funk
![]() |
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kajala Masanja kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |