Nenda kwa yaliyomo

Kaisei Yui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kaisei Yui (油井 快晴, Yui Kaisei,alizaliwa Shizuoka,6 Februari 1996) ni mwanariadha wa mbio nchini Japani ambaye alibobea katika mbio za mita 400. Alishiriki katika mbio za kupokezana za mita 4 × 400 kwenye mashindano ya ndani ya dunia ya mwaka 2014 bila kufuzu kwa fainali.[1]

  1. =https://media.aws.iaaf.org/competitiondocuments/pdf/4952/AT-4X4-M-h----.RS6.pdf?v=-2074241450%7Ctitle=4 x 400 Metres Relay Men - Round 1 − Results|website=World Athletics|access-date=30 October 2020}}
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kaisei Yui kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.