Kagoshima, Kagoshima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Kagoshima








Kagoshima
Faili:Flag of .png
Bendera
Nchi Japani
Kanda Kyushu
Mkoa Kagoshima
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 604 712
Tovuti:  www.city.kagoshima.lg.jp

Kagoshima (鹿児島市) ndiyo mji mkuu katika mkoa wa Kagoshima. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 600,000 wanaoishi katika mji huu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kagoshima, Kagoshima kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.