Kabrasha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dirisha la Windows linaloonyesha kabrasha moja.

Katika tarakilishi, kabrasha (kwa Kiingereza : "directory") ni mfumojalada linaloshikilia majalada au makabrasha nyingine.

Tunatumia maneno mzazi na mtoto kutaja uhusiano kati ya kabrasha na kabrasha nyingine ndani ya kabrasha hilo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.