Kabrasha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dirisha la Windows linaloonyesha kabrasha moja.

Katika tarakilishi, kabrasha (kwa Kiingereza : "directory") ni mfumojalada linaloshikilia majalada au makabrasha nyingine.

Tunatumia maneno mzazi na mtoto kutaja uhusiano kati ya kabrasha na kabrasha nyingine ndani ya kabrasha hilo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.