Jungfrau

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima wa Jungfrau.

Jungfrau ni mlima wa Alpi katika nchi ya Uswisi (Ulaya).

Urefu wake ni mita 4,158 juu ya usawa wa bahari.

Juu yake kinapatikana paoneaanga pa "Sphinx Observatory".

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jungfrau kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.