Juctice Majabvi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Juctice Majabvi

Juctice Majabvi (amezaliwa Harare, Zimbabwe, 26 Machi, 1984) ni mchezaji wa kandanda akiichezea klabu ya Simba S.C. ya nchini Tanzania. Majabvi nafasi anayocheza ni kiungo mkabaji.

Timu alizowahi Chezea[hariri | hariri chanzo]

Lancashire Steel-2002-2005

Dynamos FC-2005-2008

LASK Linz-2008-2011

Khatoko kan hoa-2011-2013

Vicem hai Phong F.C-2013-2015

Simba S.C.-2015

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Juctice Majabvi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.