Nenda kwa yaliyomo

Josephat Karanja

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Josephat Njuguna Karanja (5 Februari 193128 Februari 1994) alikuwa makamu wa tano wa rais katika jamhuri ya Kenya kati ya 1988 na 1989.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Karanja, Josphat Njuguna (1962). United States attitude and policy toward the international African Association, 1876-1886 (kwa Kiingereza).