Joseph Campbell Butler

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Joseph Campbell Butler

Joseph Campbell Butler (amezaliwa 16 Septemba 1941) ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Alikuwa mwanachama mwanzilishi wa "The Lovin' Spoonful". Joseph alikuwa na nyimbo saba mnamo mwaka 1965 na 1966.[1]

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Joe Butler alizaliwa tarehe 16 Septemba 1941, katika kisiwa cha Long Island, New York. Alianza kucheza ngoma akiwa na umri wa miaka 10. Butler alitumikia katika jeshi la anga hadi 1963. Alipokuwa katika jeshi la anga, alikutana na Steve Boone na ndugu yake Skip.[2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Names", Detroit Free Press, January 24, 2003. "... protection relating to her father Joseph Butler the drummer for the 1960s. band Lovin Spoonful While in custody on that charge Butler headbutted a ..." 
  2. "Lovin' Spoonful Rock & Roll Hall of Fame". www.rockhall.com. Iliwekwa mnamo 2022-08-22. 
  3. "Yancy Butler". IMDb. Iliwekwa mnamo 2022-08-22. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Joseph Campbell Butler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.