John Zefania Chiligati
Mandhari
John Zefania Chiligati (amezaliwa 14 Oktoba 1950) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania tangu mwaka wa 2000. Katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, Chiligati ni Waziri wa Ardhi. Mwaka wa 1986 alipata shahada ya pili katika somo la uendeshaji (administration) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Chanzo
[hariri | hariri chanzo]- Wasifu ya Chiligati ktk tovuti ya Bunge Ilihifadhiwa 13 Aprili 2009 kwenye Wayback Machine.
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu John Zefania Chiligati kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |