John Legend

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
John Legend

Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa John Roger Stephens
Amezaliwa 28 Desemba 1978 (1978-12-28) (umri 45)
Aina ya muziki Pop
Ala Sauti
Miaka ya kazi 2000-hadi leo
Studio Sony Urban
Tovuti johnlegend.com


John Rogers Stephens (anayejulikana kama John Legend) alizaliwa mnamo mwaka 1978) ni mwanamuziki wa nchini Marekani.

Mwanamuziki huyo alitoa wimbo wake wa kwanza mwaka 2004 kwa jina la Get Lifted na nyingine inayoitwa All of Me. Mwaka 2007 alipokea tuzo ya Hal David Starlight kutoka kwenye jumba maarufu la watunzi wa muziki, tuzo nyingine alishinda mwaka 2015 ambayo ilikuwa ya dhahabu, pia ameshinda tuzo kumi na moja za Grammy, aliendelea kupokea tuzo nyingine nyingi.

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Legend kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.