Jeshi la Misri
Jump to navigation
Jump to search
Jeshi la Misri ni vikosi vya kijeshi vya nchi ya Misri.
Jeshi hilo ndilo kubwa katika Afrika na Mashariki ya Kati, likiwa na wanajeshi wa nchi kavu, wa baharini, wa angani na Jeshi la Wananchi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |