Jerome Bwanausi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jerome Dismas Bwanausi (alizaliwa 1 Novemba 1959) ni mwanasiasa wa Chama cha kisiasa cha (CCM) nchini Tanzania. Alichaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Lulindi katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka 2015[1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]