Jennifer Richard Shigoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jennifer Richard Shigoli
Nchi Tanzania
Kazi yake ujasiriamali
Cheo Mkurugenzi



Jennifer Richard Shigoli Ni mwanzilishi na Mkurugenzi wa shirika la Malkia Investments inayotengeneza pedi za bei nafuu ambazo zinaweza kutumika zaidi ya mara moja.

Pia ni Mkurugenzi wa Tanzania Institute of Manufacturing (TIM).

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Kitaaluma Jennifer ni mwanasheria na mwanadiplomasia.[1]

Alipata shahada ya kwanza ya Sheria katika chuo kikuu cha Tumaini University, Dar es Salaam chuo.

Tuzo[hariri | hariri chanzo]

Amefanikiwa kushinda tuzo ya ujasiriamali ya ‘African Entreprenureship Award 2016’ kwenye kipengele cha elimu [2] [3]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jennifer Richard Shigoli kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-09-04. Iliwekwa mnamo 2018-10-20. 
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-04-30. Iliwekwa mnamo 2019-03-07. 
  3. http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/mtanzania-jennifer-shigoli-atajwa-kuwa-mjasiriamali-bora-afrika-2016