Jenifa(filamu)
Mandhari
Jenifa | |
---|---|
Muziki na | Fatai Izebe |
Nchi | Nigeria |
Lugha | [[Lugha ya Yoruba|Yoruba]] |
Jenifa ni filamu ya vichekesho ya Nigeria ya mwaka 2008 iliyochezwa na mwigizaji Funke Akindele. Mwaka 2008 filamu hii iliteuliwa katika tuzo za Africa Movie Academy Awards. Akindele alishinda tuzo za Africa Movie Academy Award for Best Actress in a Leading Role kama muigizaji wa kike.[1][2][3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Ajayi, Segun (11 Aprili 2009). "Nollywood in limbo as Kenya, South Africa rule AMAA Awards". Daily Sun. Lagos, Nigeria. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2 Januari 2010. Iliwekwa mnamo 8 Machi 2011.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Okon-Ekong, Nseobong (10 Julai 2010). "Funke (jenifa) Akindele - How to Lose Your Name to a Character". AllAfrica.com. AllAfrica Global Media. Iliwekwa mnamo 8 Machi 2011.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "AMAA Nominees and Winners 2009". Lagos, Nigeria: Africa Movie Academy Awards. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 5 Aprili 2011. Iliwekwa mnamo 8 Machi 2011.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jenifa(filamu) kama waigizaji wake, hadithi au matoleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |