Jean-Pierre Sauvage
Mandhari


Jean-Pierre Sauvage (amezaliwa 21 Oktoba, 1944) ni mwanakemia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza jinsi molekuli kubwa zinaweza kuunganishwa kwa shabaha ya kuunda injini ya kimolekuli. Mwaka wa 2016, pamoja na James Fraser Stoddart na Bernard Feringa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa michango yake ya kubuni na kuunda injini za kimolekuli[1][2][3] [4].
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "for the design and synthesis of molecular machines"
- ↑ Staff (5 Oktoba 2016). "The Nobel Prize in Chemistry 2016". Nobel Foundation. Iliwekwa mnamo 5 Oktoba 2016.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Chang, Kenneth; Chan, Sewell (5 Oktoba 2016). "3 Makers of 'World's Smallest Machines' Awarded Nobel Prize in Chemistry". New York Times. Iliwekwa mnamo 5 Oktoba 2016.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Davis, Nicola; Sample, Ian (5 Oktoba 2016). "live". theguardian. Iliwekwa mnamo 5 Oktoba 2016.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]5 Things to Know About ‘Molecular Machines’ , Time Magazine Oct. 5, 2016, iliangaliwa 23.10.2016
![]() |
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jean-Pierre Sauvage kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |