Jagwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jagwa
Jagwa (Panthera onca)
Jagwa (Panthera onca)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Pantherinae (Wanyama wanaofanana na chui)
Jenasi: Panthera
Oken, 1816
Spishi: P. onca
(Linnaeus, 1758)
Maeneo yaliyokaliwa na jagwa (chungwa)
Maeneo yaliyokaliwa na jagwa (chungwa)

Jagwa (kutoka Kireno: jaguar, Kisayansi: Panthera onca) au chui wa Amerika ni mnyama mbuai mkubwa kama chui anayeishi Amerika na aliye na manyoya ya manjano na madoa meusi.

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jagwa kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Makala hii kuhusu "Jagwa" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili jaguar kutoka lugha ya Kireno. Neno (au maneno) la jaribio ni jagwa.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.