Isaac L. Auerbach

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Isaac L. Auerbach (Oktoba 9, 1921- Disemba 24, 1992)[1] alikuwa miongoni wa waanzilishi na watetezi wa teknolojia za kompyuta anayeshikilia hataza 15. Alikuwa rais mwanzilishi wa Shirikisho la Kimataifa la Uchakataji wa Habari (IFIP) kuanzia mwaka 1960 hadi 1965[2][3], mwanachama wa National Academy of Sciences, mkurugenzi kwenye shirika la Burroughs na mvumbuzi wa kompyuta za awali za Sperry Univac. IFIP lilianzisha tuzo kwa jina lake.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Marquis Who's Who (1996). Who was who in America : with world notables. Internet Archive. Reed Elsevier. ISBN 978-0-8379-0225-8. 
  2. "IT History Society". web.archive.org. 2012-04-03. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-04-03. Iliwekwa mnamo 2022-07-28. 
  3. "The Day of the President". www.ifip.org. Iliwekwa mnamo 2022-07-28.