Nenda kwa yaliyomo

Indiah-Paige Riley

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Indiah-Paige Riley

Indiah-Paige Janita Riley (alizaliwa 20 Desemba 2001)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka New Zealand, ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Crystal Palace F.C, inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya Uingereza (WSL), na timu ya taifa New Zealand.[2]

  1. https://fdp.fifa.org/assetspublic/ce73/pdf/2196-IndividualSquadList-English.pdf
  2. "Young Matildas striker Riley signs for Danish champions Fortuna Hjorring". SBS Sport (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-09-20.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Indiah-Paige Riley kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.