Hospitali ya kilutheri Haydom

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hospitali ya kilutheri Haydom

Hospitali ya Kilutheri ya Haydom (kifupi cha Kiingereza: HLH) ni hospitali iliyopo katika mji wa Haydom, magharibi mwa Mkoa wa Manyara.

Hospitali iko karibu km 300 kusini-magharibi kwa Arusha.

Hospitali ilianzishwa mnamo mwaka 1955 na wamisionari wa Kilutheri wa Norwei. Kwa sasa inamilikiwa na kuendeshwa na Dayosisi ya Mbulu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]