Hospitali ya Bunda
Hospitali ya Bunda ilifunguliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1992 ikitumika kama hospitali ya wilaya na kumilikiwa na Dayosisi ya Mbulu [1] iliyo chini ya kanisa la Walutheri.
Ni hospitali iliyopo katika wilaya ya Bunda mkoani Mara
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |