Hospitali ya Benjamin Mkapa
Hospitali ya Benjamin Mkapa, ni hospitali ya umma iliyoko Dodoma, mji mkuu wa Tanzania. Inapatikana katika Majira nukta 6°13′47″S 35°50′51″E / 6.229805°S 35.847491°E
Ilikuwa hospitali ya pili nchini kufanya upandikizaji wa figo[1] lakini ya kwanza kufanya hivyo na wafanyikazi wote wa Kitanzania mnamo 2018.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ LUDOVICK KAZOKA recently in Kiteto (2020-03-02). BMH ’s mobile medical outreach service brings hope to rural communities (en). www.dailynews.co.tz. Jalada kutoka ya awali juu ya 2021-01-26. Iliwekwa mnamo 2022-03-16.