Hildesheim

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Hildesheim
bendera ya Mji wa Hildesheim
Kanisa la Mt. Mikaeli huko Hildesheim








Hildesheim

Nembo
Nchi Ujerumani
Jimbo Saksonia Chini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 102.903
Tovuti:  http://www.hildesheim.de/

Hildesheim ni mji wa Saksonia Chini nchini Ujerumani ya Kaskazini, km 30 upande wa kusini wa mji mkuu Hannover. Idadi ya wakazi wake ni takriban 102,903.

Ni mji wa kihistoria maarufu hasa kwa majengo yaliyoachwa na askofu Benwadi aliyeishi huko mnamo 993-1022 BK.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hildesheim kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.