Hifadhi ya Taifa ya Mosi-oa-Tunya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtazamo wa angani wa mbuga hiyo yenye kundi la nyati.

Hifadhi ya Taifa ya Mosi-oa-Tunya, ni hifadhi ya Urithi wa Dunia wa UNESCO [1] ambapo hupatikana nusu ya mto Mosi-oa-Tunya unaojulikana duniani kote kama Maporomoko ya maji ya Victoria kwenye Mto Zambezi . Mto huu unatengeneza mpaka kati ya Zambia na Zimbabwe, kwa hivyo maporomoko hayo yanashirikiwa na nchi hizo mbili, na mbuga hiyo ni 'pacha' na Mbuga ya taifa ya Victoria Falls upande wa Zimbabwe. [2]

'Mosi-oa-Tunya' imenatokana na lugha ya Kololo au Lozi na jina hilo sasa linatumika kote Zambia, na katika sehemu za Zimbabwe. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Unesco World Heritage List website accessed 1 March 2007
  2. 2.0 2.1 Camerapix: "Spectrum Guide to Zambia." Camerapix International Publishing, Nairobi, 1996.