Hifadhi ya Taifa ya Boumba Bek

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hifadhi ya Taifa ya Boumba Bek ni mbuga ya taifa iliyoko kusini-mashariki mwa Kameruni.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Hifadhi hiyo haipitishwa bado, kulingana na mshauri wa kisayansi wa Mfuko wa Wanyamapori Ulimwenguni katika eneo hilo, Paul Robinson Ngnegueu, " uwindaji haramu ni tishio kubwa katika Boumba Bek." [1] Hayo ni matokeo ya mdororo wa kiuchumi wa mwishoni mwa miaka ya 1980 nchini Kamerun. [2] Wazawa walideuka majangili, kwa kuatfuta fursa za kifedha. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Cameroon's Two New National Parks Shelter Forests, Wildlife", Environment News Service, 2005-10-17. Retrieved on 2008-08-28. 
  2. 2.0 2.1 Ndameu, Benoit (July 2001). "Case Study 7: Cameroon-Boumba Bek" (PDF). Forest Peoples Programme (Moreton-in-Marsh). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-07-23. Iliwekwa mnamo 2008-09-09.  Check date values in: |date= (help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hifadhi ya Taifa ya Boumba Bek kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.