Heba Kotb

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Heba Kotb (kwa Kiarabu: هبة قطب; hujulikana sana na Wamisri kama Dr. Ruth[1][2][3][4]; alizaliwa Septemba 19, 1967)[5] ni mtaalamu wa masuala ya kijinsia (ngono) kutokea Misri pia ni mtangazaji wa kipindi cha ushauri wa masuala ya ngono kinachoitwa The Big Talk kinachorushwa nchini Misri.

Mtaalam wa kwanza wa masuala ya ngono Misri, Kotb amejikita sana na mafundisho kutoka kwenye Kurani ambayo anasema inahimiza uhusiano mzuri wa kimapenzi kati ya mume na mke.[6]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Heba Kotb kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.