Nenda kwa yaliyomo

Harrysong

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Harrison Tare Okiri (anajulikana zaidi kwa jina la kisanii Harrysong) ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mpiga ala wa Nigeria ambaye alipata umaarufu baada ya wimbo wake wa heshima kwa Nelson Mandela kushinda tuzo ya "Most Downloaded Callertune Award" katika gazeti la The Headies 2013.[1]

  1. "The Headies 2013: First Photos & Full List of Winners: Olamide, Phyno, Davido, Sean Tizzle & Waje". BellaNaija. 27 Desemba 2013. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-09-23. Iliwekwa mnamo 16 Oktoba 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Harrysong kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.